1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Bingwa wa Miereka Syria

01:23

This browser does not support the video element.

2 Januari 2018

Japo aliikimbia nchi yake ya Syria inayozongwa na vita akaenda Misri, Amir Awad aliendeleza ari yake katika mchezo wa miereka. Akawa bingwa aliyeyashinda mataji mbalimbali akichezea timu ya taifa ya miereka ya Syria.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW