1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Boko Haram bado ina nguvu Nigeria

6 Julai 2011

Kwa mara nyengine tena, kundi la Boko Haram la Nigeria limejitokeza na kuonesha nguvu zake halisi mbele ya serikali ya nchi hiyo na sasa mashambulizi ya kundi hilo yamekuwa jambo la kawaida kwenye maeneo mbalimbali.

Mashambulizi ya Boko Haram, Maiduguri, Nigeria
Mashambulizi ya Boko Haram, Maiduguri, NigeriaPicha: AP

Othman Miraji anazungumzia kuibuka upya kwa kundi la Boko Haram la Nigeria, ambalo linadai kupingana na mfumo wa kimagharibi, kutaka kuanzishwa kwa dola kamili ya Kiislamu kwenye taifa hilo la Magharibi ya Afrika.

Mtayarishaji: Othman Miraji

Ruka sehemu inayofuata Gundua zaidi
Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW