Boko Haram bado ina nguvu Nigeria
6 Julai 2011
Matangazo
Othman Miraji anazungumzia kuibuka upya kwa kundi la Boko Haram la Nigeria, ambalo linadai kupingana na mfumo wa kimagharibi, kutaka kuanzishwa kwa dola kamili ya Kiislamu kwenye taifa hilo la Magharibi ya Afrika.
Mtayarishaji: Othman Miraji