1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Borussia Dortmund wawaadhibu Freiburg

5 Oktoba 2020

Borussia Dortmund walicheza na SC Freiburg na mshambuliaji wao Erling Haaland aling'ara sana katika mpambano huo alipocheka na wavu mara mbili na kusaidia kuunda goli moja pale timu yake ilipopata ushindi wa nne bila.

Bundesliga - Borussia Dortmund gegen SC Freiburg | Haaland
Picha: Jens Niering/dpa/picture-alliance

Chipukizi wa Dortmund Giovanni Reyna aliweka rekodi katika mechi hiyo kwa kusaidia kuunda magoli matatu.

Huyu hapa nahodha wa BVB Marco Reus.

"Vijana hawastahili kusoma magazeti badala yake fahamu zao waziweke kwenye mchezo na waendelee kufanya yale waliyoyafanya leo na tukifanya hivyo tutakuwa sawa. Vijana bado wanastahili muda wa kuendeleza yale waliyofanya leo kwa sababu mapambano yanaendelea kama nilivyosema," alisema Reus.

 

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW