1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

BRASILIA:Rais wa Brazil amfukuza kazi waziri wake wa ulinzi

26 Julai 2007

Rais Luiz Inacio Lula da Silva amemfukuza kazi waziri wa ulinzi wa nchi hiyo, kufuatia ajali ya ndege wiki iliyopita.Wizara ya Ulinzi ya Brazil ndiyo inayohusika na usalama wa anga.

Waziri huyo aliyefukuzwa kazi Waldir Pires amekuwa akikabiliwa na shutma kutokana na mtafuruku uliyoikabili sekta ya usafiri wa anga kwa kipindi cha karibu mwaka mmoja sasa.

Wiki iliyopita ndege ya shirika la ndege ya TAM iligonga jengo mmoja kwenye uwanja wa ndege wa Congonas ambapo watu zaidi ya mia mbili waliuawa.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW