1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Brazil: Uchaguzi wa Rais kuingia duru ya pili

02:10

This browser does not support the video element.

3 Oktoba 2022

Raia wa Brazil wapatao milioni 156 wamepiga kura jana Jumapili katika uchaguzi wa rais ulio na ushindani mkubwa kati ya wagombea wawili ambao ni rais wa zamani na yule wa sasa wa nchi hiyo yenye uchumi mkubwa zaidi katika ukanda wa Amerika ya kusini.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW