1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Brussels. Umoja wa Ulaya kutoa milioni 42 kwa Lebanon.

30 Agosti 2006

Umoja wa Ulaya umesema kuwa utaidhinisha kutolewa kwa Euro milioni 42 kwa ajili ya juhudi za ujenzi mpya nchini Lebanon.

Kamishna wa masuala ya mambo ya nje, Benita Ferrero-Waldner, amesema mpango huo utawasilishwa rasmi katika mkutano wa kimataifa wa wafadhili mjini Stockholm siku ya Alhamis.

Kiasi kikubwa cha msaada huo kitakwenda katika kusaidia wafanyabiashara wa Lebanon kuweza kurejesha uwezo wao.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW