1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

BRUSSELS: Urusi isilete mtengano katika Umoja wa Ulaya

19 Mei 2007

Rais wa Kamisheni ya Umoja wa Ulaya Jose Manuel Barroso,ameionya Urusi dhidi ya kuleta mtengano katika umoja huo.Amesema,maslahi za nchi za Ulaya ya Mashariki zilizo wanachama wa Umoja wa Ulaya ni halali,sawa sawa na maslahi za nchi za Ulaya ya Magharibi.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW