1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

BUCHAREST:Köhler aitaka Romania kuondoa rushwa

3 Julai 2007

Rais wa Ujerumani Horst Köhler ameitaka serikali ya Romania kuongeza zaidi mapambano dhidi ya rushwa.

Rais Köhler alisema hayo baada ya mkutano na mwenyeji wake Rais Traian Basescu wa Romania mjini Bucharest.

Rais huyo wa Ujerumani yuko katika ziara ya mataifa matatu ya Balkan, ambapo mbali ya Romania atatembelea pia Bulgaria na Bosnia-Herzegovina.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW