1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

BUJUMBURA:Uhalifu wa kivita kuadhibiwa nchini Burundi

17 Juni 2005

Serikali ya Burundi imeidhinisha mpango wa Umoja wa Mataifa juu ya kuunda tume ya usuluhishi na mahakama maalumu itakayohukumu kesi za uhalifu wa kivita.

Waziri wa sheria wa Burundi bwana Kiganahe amesema mpango huo wa Umoja wa Mataifa unawafiki dhamira ya watu wa nchi yake juu ya kuunda tume na mahakama zitakazowaadhibu watu waliotenda makosa.

Hatahivyo Umoja wa Mataifa bado haujapitisha mpango huo.

.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW