1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

BUKAVU: Raia watoroka mapigano

6 Septemba 2007

Jenerali muasi Laurent Nkunda ametoa mwito wa kutafutwa upatanishi wa mataifa ya Afrika ili kufikia makubaliano ya kusimamisha mapigano katika eneo la mashariki ya Kongo.

Mapigano yamezuka katika katika eneo la Karuba kilomita 30 kutoka magharibi mwa mji wa Goma.

Mamia ya wakaazi wa eneo hilo wanaendelea kutoroka mapigano.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW