1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Bunge la Israel lapitisha sheria yenye utata

01:03

This browser does not support the video element.

Mohammed Khelef
19 Julai 2018

Bunge nchini Israel limepitisha sheria yenye utata ambayo inaielezea nchi hiyo kama taifa la Wayahudi, huku ikikosolewa kwa kuwatenga watu wa jamii za wachache kama Waarabu, nayo serikali ikisema sheria hiyo mpya ni nyongeza tu kwenye sifa ya Israel. Papo kwa Papo 19.07.2018.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW