1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
Vyombo vya habari

Buriani gwiji la habari Mohammed Abdulrahman

05:03

This browser does not support the video element.

16 Julai 2025

Mohamed Abdulrahman, aliyekuwa mhariri na naibu msaidizi wa mkuu wa DW Kiswahili, amefariki dunia nyumbani kwake mjini Cologne akiwacha nyuma yake alama isiyofutika kwenye tasnia ya uandishi wa habari.

Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Kurunzi

Vidio ya habari na matukio