1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Burundi: Uhasama wa kisiasa

12 Juni 2014

Vijana wa Burundi wanazungumzia juu ya hali ya vijana kutovumiliana kisiasa baada ya kujikuta katika vyama tofauti vya kisiasa.

Flagge von Burundi
Picha: picture-alliance/Philipp Ziser

[No title]

This browser does not support the audio element.

Vijana wanakwenda hadi kuwapiga na hata kuwauwa vijana wengine wasiochangia chama. Katika mjadala tunataka kujua sababu na mbinu zinazoweza kutumiwa ili kukomesha hali hiyo Burundi.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW