1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Burundi yakanusha watu wakimbia nchi

10 Februari 2017

Mwakilishi wa shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia wakimbizi UNHCR ametakiwa kujieleza kwa Wizara ya Mambo ya Ndani baada ya kusema watu 500 wanaikimbia Burundi kila siku kuepuka machafuko ama njaa.

Wakimbizi Burundi
Picha: DW/K. Tiassou

J3 10.02 Burundi OCHA/UNHCR - MP3-Stereo

This browser does not support the audio element.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW