1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Burundi yaridhishwa na mazungumzo ya Arusha

Amida Issa26 Mei 2016

Waziri wa mambo ya nje wa Burundi, Alain Nyamitwe, amewaambia mabalozi wa nchi za kigeni Burundi ameridhishwa na matokeo ya awamu ya kwanza ya mazungumzo ya amani yaliyofanyika Arusha wiki iliyopita.

Mazungumzo ya kuleta amani Burundi
Picha: DW/C. Ngereza

[No title]

This browser does not support the audio element.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW