1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Burundi yatangaza siku tano za maombolezo ya vifo vya wanajeshi Somalia

18 Septemba 2009

Serikali ya Burundi imesema haitawaondoa wanajeshi wake nchini Somalia,kufuatia shambulio la hapo jana ambapo wanajeshi wake 10 waliuawa na wapiganaji wa kundi la Al Shabab.

Burundi imetangaza leo siku tano za kuomboleza vifo vya wanajeshi hao.Mwandishi wetu wa mjini Bujumbura na ripoti kufuatia vifo vya wanajeshi hao.

Mwandishi : Amida Issa

Mpitiaji: Jane Nyingi

Ruka sehemu inayofuata Gundua zaidi
Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW