Burundi yatoa chanjo kwa akinamama na watoto
6 Julai 2011![Dawa ya matone](https://static.dw.com/image/6147621_800.webp)
Matangazo
Hamida Issa kutoka Bujumbura anazungumzia operesheni ya kutoa chanjo kwa akina mama na watoto wa Burundi, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya wiki maalum ya "Mama na Mtoto" nchini humo.
Mtayarishaji: Hamida Issa
Mhariri: Othman Miraji