1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Burundi yatoa chanjo kwa akinamama na watoto

6 Julai 2011

Katika wiki ya "mama na mtoto" nchini Burundi, serikali ya nchi hiyo imeamua kutoa chanjo kwa watoto wote na pia wanawake wajawazito na wasichana wanaokaribia kufikisha umri wa kuweza kuwa mama.

Dawa ya matone
Dawa ya matonePicha: Fotolia/Gina Sanders

Hamida Issa kutoka Bujumbura anazungumzia operesheni ya kutoa chanjo kwa akina mama na watoto wa Burundi, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya wiki maalum ya "Mama na Mtoto" nchini humo.

Mtayarishaji: Hamida Issa
Mhariri: Othman Miraji

Ruka sehemu inayofuata Gundua zaidi
Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW