KandandaTanzania
CAF: Michuano ya AFCON 2027 itafanyika kama ilivyopangwa
14 Februari 2026
Matangazo
Motsepe amesema hayo alipozungumza baada ya mkutano na kamati kuu ya CAF na kuongeza kuwa michuano hiyo itacheza mwezi Juni na Julai na shirikisho litatangaza tarehe ya kuanza hivi karibuni.
Motsepe ameyasema hayo baada ya mkutano na kamati kuu ya Shirikisho la Kandanda barani Afrika (CAF). Shirikisho hilo la Kandada litatangaza tarehe ya kuanza michuano hiyo hivi karibuni ambayo itachezwa mwezi Juni na Julai.
Michuano ya AFCON 2027 ambayo inaandaliwa na mataifa hayo matatu huenda ingesogezwa mbele hadi 2028.
Katika mkutano huo Motsepe ameisifu Morocco iliyokuwa mwenyeji wa michuano hiyo mwaka 2025, na pia itakuwa mwenyeji wa AFCON kwa wanawake mwezi ujao.