1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

CAIRNS: Ajali ya ndege kaskazini mwa Australia

7 Mei 2005

Kuna khofu kuwa hadi watu 15 wamefariki katika ajali ya ndege iliyotokea kaskazini mwa Australia.Wakuu wa huduma za kuokoa waligutuka baada ya ndege hiyo kukosa kuwasili kule ilipokuwa ikitarajiwa.Helikopta ya kuokoa imeona mabakio yalioshika moto,katika eneo la mbali kwenye jimbo la kaskazini.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW