1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Cameroon: Vigae vya barabara vya mifuko ya plastiki

03:04

This browser does not support the video element.

11 Novemba 2015

Mchezaji soka wa zamani wa Cameroon ameanzisha mradi wa matumizi mapya ya mabaki ya plastiki. Roger Milla tayari ameshaweka jiwe la msingi mji mkuu wa Younde la kiwanda kitakachotengeneza mawe pamoja na bamba za kujengea njia za waendao kwa miguu kwa kutumia mchanganyo wa plastiki pamoja na mchanga.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW