1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Chadema chataka wabunge wake waloapishwa kujieleza

03:00

This browser does not support the video element.

25 Novemba 2020

Chama cha demokrasia na maendeleo kimeweka wazi msimamo wake wa kuwaita wabunge hao kujieleza ni kwa nini walikiuka msimamo wa chama . Hii ni baada ya wabunge 19 kuapishwa na Spika wa bunge la Tanzania Job Ndugai, kama wabunge wa viti maalumu

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW