1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

CHADEMA kuahirisha maandamano ya UKUTA

30 Septemba 2016

Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani Tanzania CHADEMA, Freeman Mbowe, amesema maandamano yaliyopangwa kufanyika Oktoba Mosi yatasogezwa na kufanyika tarehe isiyojulikana. Hawa Bihoga anaripoti kutoka Dar.

Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe
Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman MbowePicha: DW/H. Bihoga

J2.30.09.2016 Q&A Chadema Presser - MP3-Stereo

This browser does not support the audio element.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW