1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

CHADEMA: Mdee na wenzake watoka kwa dhamana

12 Machi 2020

Viongozi wa chama kikuu cha upinzani Tanzania CHADEMA wameendelea kutoka kwa mafungu gerezani. Halima Mdee, Ester Bulaya na Esther Matiko wamerejea uraiani wakipata mapokezi makubwa kutoka kwa wafuasi wa chama hicho.

Wanasiasa wa CHADEMA
Picha: DW/E. Boniphace

J3 1203 Tanzania-Opposition - MP3-Stereo

This browser does not support the audio element.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW