1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

CHADEMA yanyakua majimbo saba Kilimanjaro, CCM mawili

Elizabeth Shoo27 Oktoba 2015

Katika uchaguzi mkuu wa Tanzania, Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimechukua majimbo mengi na kata nyingi zaidi katika mikoa iliyoko Tanzania Kaskazini ambapo ndiyo ngome kuu ya chama hicho.

CHADEMA Moshi Tanzania
Picha: DW/E. Shoo

[No title]

This browser does not support the audio element.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW