1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Chama cha upinzani FDC chakutana Kampala

22 Novemba 2012

Nchini Uganda chama kikuu cha upinzani Forum for Democratic Change-FDC, kinakutana leo mjini Kampala.

Kiongozi wa FDC Kizza Besigye
Kiongozi wa FDC Kizza BesigyePicha: AP

Wajumbe watamchagua Rais mpya wa chama hicho atakayeshika nafasi ya kiongozi wa sasa Dr Kiiza Besigye. Watu watatu wanagombea nafasi hiyo.

Mwandishi wetu Leyla Ndinda ametutumia taarifa ifuatayo.

(Kusikiliza ripoti bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini)

Mwandishi: Leylah Ndinda

Mhariri: Mohammed Abdul-Rahman

Ruka sehemu inayofuata Gundua zaidi

Gundua zaidi

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW