1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Chama tawala Burundi chataka kufungulia mashtaka Wabelgiji

20 Novemba 2015

Chama cha Cndd Fdd kinataka kuwafikisha mahakamani Wabelgiji kwa madhila waliofanya tangu wakati wa ukoloni. Wakati huo huo Wabelgiji waishio Burundi wametakiwa na wizara ya mambo ya kigeni ya Ubelgiji kuondoka.

Machafuko Burundi
Picha: Reuters/G. Tomasevic

[No title]

This browser does not support the audio element.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW