1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

CHILE. Idadi ya watu waliokufa yaongezeka baada ya tetemeko la ardhi

15 Juni 2005

Idadi ya watu waliokufa kufuatia tetemeko la ardhi nchini Chile imeongezeka kufikia watu 11.

Tetemeko la ardhi lenye kipimo cha rishta 7.9 lilikumba sehemu ya kaskazini mwa Chile na kusababisha vifo huku wakaazi wa miji ya Arica, Iquique na Antofagasta wamekumbwa na uhaba wa nguvu za umeme na maji.

Utawala wa Chile umesema kuwa tetemeko hilo limefika hadi Bolivia na Peru.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW