SiasaKimataifaChina yachukua udhibiti wa ubalozi mdogo wa Marekani 01:19This browser does not support the video element.SiasaKimataifa27.07.202027 Julai 2020China imetangaza kuchukua udhibiti wa ubalozi mdogo wa Marekani mjini Chengdu. Hii ni baada ya China kuamuru ubalozi huo kufungwa, ikilipiza kisasi dhidi ya hatua ya Marekani kuiamuru China pia kuufunga ubalozi wake mdogo mjini Houston. KurunziNakili kiunganishiMatangazo