1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

China yachukua udhibiti wa ubalozi mdogo wa Marekani

01:19

This browser does not support the video element.

27 Julai 2020

China imetangaza kuchukua udhibiti wa ubalozi mdogo wa Marekani mjini Chengdu. Hii ni baada ya China kuamuru ubalozi huo kufungwa, ikilipiza kisasi dhidi ya hatua ya Marekani kuiamuru China pia kuufunga ubalozi wake mdogo mjini Houston. Kurunzi

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW