1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mama apoteza mtoto machoni mwake Manyara

02:00

This browser does not support the video element.

Deo Kaji Makomba
6 Desemba 2023

Mkazi wa Hanang, Christina Michael anasema mwanawe amesombwa na tope na kupoteza maisha mbele ya macho yake, akishindwa kumuokoa. Tazama madhila ya mafuriko ya tope ya Hanang, mkoani Manyara Tanzania katika vidio iliyoandaliwa na Deo Kaji Makomba.

Ruka sehemu inayofuata Zaidi kutoka kipindi hiki
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Kurunzi

Vidio ya habari na matukio

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW