1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Chuo cha mazingaombwe chawahamasisha vijana Afrika Kusini

03:37

This browser does not support the video element.

24 Agosti 2022

Je wajua kwamba mji wa Cape Town nchini Afrika Kusini una chou chake cha kufundisha mazingaombwe. Kwa miaka 30 chuo hicho cha kiinimacho kimekuwa kikiwafunza vijana mbinu zote kama za karata na mauzauza. Si hayo tu bali pia kuwaleta vijana pamoja- katika jamii ambayo kwa kiwango fulani imegawika.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW