1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

COVID-19: Mawigi na kitisho cha kueneza virusi vya corona

02:32

This browser does not support the video element.

22 Mei 2020

Maeneo ya ususi ni mojawapo ya maeneo yanayoshauriwa kuchukua tahadhari zaidi kuepusha usambaaji w avirusi vya corona. Vilevile wanaoyavalia mawigi pia wanashauriwa kuchukua tahadhari zaidi kuhusiana na hatari ya virusi vya corona. Kwa nini? Ahmad Juma anajibu hilo kwenye vidio ifuatayo.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW