1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

COVID-19: Watalii waadimika Serengeti na Masaai Mara

01:25

This browser does not support the video element.

21 Julai 2020

Tofauti na miaka iliyopita, ambapo maelfu kwa maelfu ya watalii wa kimataifa wangemiminika Maasai Mara kushuhudia mamilioni ya nyumbu wakivuka kutoka Serengeti hadi Masaai Mara, mwaka huu hali ni tofauti licha kuwa kipindi cha tukio hilo la kipekee kimeanza. Watalii wengi wa ndani na kimataifa hawajajitokeza kwa sababu ya janga la corona.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW