1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
Vyombo vya habari

CPJ: 'Museveni aache kutishia wanahabari'

19 Juni 2018

Shirika la kutetea haki za waandishi wa habari, CPJ, limemtaka Rais wa Uganda Yoweri Museveni kuacha kutoa kauli zinazotishia vyombo vya habari, na kuhakikisha serikali haichanganyi uandishi na ugaidi.

Rais wa Uganda, Yoweri Museveni
Picha: Imago/ITAR-TASS/A. Shcherba

J2:19.06.2018:CPJ on Uganda - MP3-Stereo

This browser does not support the audio element.

Ripoti ya CPJ inafuatia matamshi na matukio kadhaa yanayotishia utendaji unaozingatia maadili wa uandishi wa habari nchini humo. DW imezungumza na Ali Mutasa, mchambuzi na mwandishi wa habari aliyeko Kampala. Na kwanza anaelezea ripoti hiyo na vitisho wanavyokabiliwa navyo.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW