1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

CRAWFORD: Bush ataka msaada zaidi kutoka NATO

22 Mei 2007

Rais wa Marekani George W.Bush amesema,anapanga kuwashinikiza wanachama wa Shirika la kujihami la magharibi-NATO kugawana mzigo nchini Afghanistan, huku idadi ya vifo ikiendelea kuongezeka.Bush alitamka hayo,baada ya kukutana na Katibu Mkuu wa NATO,Jaap de Hoop Scheffer katika shamba lake mjini Crawford,Texas nchini Marekani.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW