Janga
Cuba yakumbwa na giza tena ndani ya wiki moja
22 Machi 2026
Matangazo
Matatizo ya umeme yameongezeka tangu kutekwa nyara rais wa Venezuela Nicolus Maduro.
Wakati wa utawala wa Maduro, Venezuela ilikuwa mshirika wa Cubana ndio ilyokuwa mtoaji mkuu wa mafuta kwa Cuba. Rais wa Marekani Donald Trump ametishia kuziwekea ushuru nchi zitakazoiuzia mafuta Cuba.
Wakati huohuo kuna taarifa kwamba meli mbili zenye shehena ya petroli na diseli zipo njiani kuelekea Cuba.
Trump ameeleza wazi kuwa anataka mabadilikom ya uongozi kwenye taifa hilo lenye watu milioni 9.6. Rais wa Cuba Miguel Diaz-Canel amesema uvamizi wowote nchini mwake utakabiliwa kwa nguvu zote.