CUF yatetea uchaguzi wa kaimu Katibu Mkuu
7 Machi 2017![Ringen um neue Verfassung in Tansania](https://static.dw.com/image/17837996_800.webp)
Matangazo
Naibu Mkurugenzi wa habari na uenezi wa chama hicho, Abdul Kambaya, ameiambia DW kwamba uteuzi huu si wa Mwenyekiti wa Chama, Prof. Ibrahim Lipumba, bali ni mwongozo wa katiba ya chama.