1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Dawa ya kuzuia maambukizi ya HIV

24 Machi 2017

Serikali ya Kenya itazindua dawa mpya zinazoaminika zitaweza kupunguza hatari ya mtu mwenye mpenzi aliye na virusi vya UKIMWI kuambukizwa. Dawa hiyo inaitwa PrEP ama kwa kirefu Pre-exposure Prophylaxis.

Daktari Sarah Masyuko akitambulisha kidonge cha PrEP
Picha: DW/B. Maranga

FE:Gesundheit 23/27/30.03.2017 PreP Kenya - MP3-Stereo

This browser does not support the audio element.

               

Ibrahim Lwingi, mtumiaji wa dawa ya PrEPPicha: DW/B. Maranga
Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW