1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Diaz-Canel ni Rais Mpya wa Cuba

01:28

This browser does not support the video element.

Daniel Gakuba
19 Aprili 2018

Cuba imempata rais mpya, Miguel Diaz-Canel. Rais huyu anachukua nafasi ya Raoul Castro, ambaye yeye na kaka yake Fidel wameiongoza Cuba kwa miongo sita. Diaz-Canel ameahidi kuendeleza siasa za kisoshalisti zilizoasisiwa na Castro. Papo kwa Papo.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW