1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

DJ Aus ambaye ni kipofu anautikisa muziki wa Nigeria.

02:02

This browser does not support the video element.

5 Agosti 2022

DJ Aus anautikisa muziki wa Nigeria. August Akpeji Ayodele aligeuka kipofu akiwa mtoto. Kurunzi inamuangaziamwanamuziki huyu ambaye pia ni DJ ajulikanaye pia kama Aus J, ambaye amejijengea jina kwa sauti na maudhui chanya ya muziki wake.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW