1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
JamiiAngola

DJ wa Angola apata umaarufu kutokana na wimbo wa kupinga mihadarati

01:56

This browser does not support the video element.

5 Mei 2023

Manuel Jamba Marcelino maarufu kama DJ Lolo — anafahamika kwa kibao chake cha "Liamba." Raia huyu wa Angola mwenye umri wa miaka 35 anatumia wimbo wake kuhamasisha jamii kuhusu hatari za matumizi ya mihadarati miongoni mwa vijana.

DJ wa Angola apata umaarufu kutokana na wimbo wa kupinga mihadarati

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW