1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Dr. Bahati, msanii mhamasishaji Tanzania

03:38

This browser does not support the video element.

1 Novemba 2023

Dr. Bahati ambaye majina kamili ni Anne Christina Achterberg-Bonness, ni mwanaharakati wa masuala ya afya na mazingira anayeendesha kampeni za kuhamasisha jamii kupitia matamasha ya muziki sehemu mbali mbali Tanzania. Ahmad Juma alikutana naye na kuandaa ripoti ifuatayo.