1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

DRC: Serikali kuwakinga raia dhidi ya ugonjwa wa Ebola

14 Agosti 2012

Serikali ya mkoa wa Kivu ya Kaskazini katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo, imeweka mikakati ya kuwakinga raia wanaoishi kwenye maeneo ya mpaka na Uganda dhidi ya maambukizi ya ugonjwa wa Ebola.

Virusi vya Ebola
Virusi vya EbolaPicha: picture-alliance/Everett Collection

Mwandishi wetu John Kanyunyu akiwa mjini Goma alizungumza na waziri wa afya kwa serikali ya mkoa wa Kivu ya kaskazini Mutete Mundenga ambaye kwanza alikuwa na haya ya kueleza:-

(Kusikiliza mahojiano hayo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini)

Mwandishi/Mahojiano: John Kanyunyu

Mhariri: Mohammed Abdul-rahman

Ruka sehemu inayofuata Gundua zaidi

Gundua zaidi

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW