1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

DUBAI: Tawi la al-Qaeda lajitambulisha na shambulizi jipya

22 Septemba 2007

Tawi la Al-Qaeda katika Afrika ya Kaskazini limesema kuwa limehusika na shambulizi la kujitolea muhanga la siku ya Ijumaa,nchini Algeria.Msafara wa magari ulishambuliwa mashariki ya mji mkuu Algiers.Mripuko huo ulijeruhi Waalgeria 6,Wafaransa 2 na Mtaliana mmoja.

Mwanzoni mwa mwezi huu pia,tawi la Al-Qaeda la Afrika ya Kaskazini,lilijitambulisha kuhusika na mashambulizi mengine mawili nchini Algeria. Mashambulizi hayo yaliua zaidi ya watu 50.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW