1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

DW Kiswahili Habari za Ulimwengu Jan 05, 2024 Mchana

06:23

This browser does not support the video element.

5 Januari 2024

Viongozi wa Iran waapa kulipiza kisasi baada ya shambulio la bomu katika hafla ya kumuenzi kamanda wa nchi hiyo Qasem Suleiman. Shirika la kuratibu misaada ya dharura OCHA limesema misaada ya kibinadamu imeshindwa kusafirishwa kuelekea kaskazini mwa Gaza. China yazihimiza Korea Kusini na Korea Kaskazini "kujizuia" baada ya Pyongyang kurusha makombora.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW