1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

DW Kiswahili yazidi kupasua anga la Tanzania

02:59

This browser does not support the video element.

21 Novemba 2022

Idhaa ya Kiswahili ya DW inazidi kupasua anga la Tanzania baada ya balozi wa Ujerumani nchini humo Regine Hess kuzindua urushwaji wa matangazo ya idhaa hii katika radio ya kijamii ya Banana FM iliyopo mji wa Moshi Mkoani Kilimanjaro. mengi zaidi kuhusu uzinduzi huu, tizama hapa. #Kurunzi

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW