1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ebola yaathiri biashara ya nyama Congo

01:35

This browser does not support the video element.

24 Mei 2018

Ni mojawapo ya masoko ya mji wa Mbandaka, katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Biashara ya nyama ya wanyama wa porini ambayo ni maarufu sana hapa, imeanza kupungua. Ni kwa sababu nyama ni moja kati ya vitu vinavyosambaza virusi vya Ebola

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW