1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Edith Kimani wa DW aelezea maisha yake

01:07

This browser does not support the video element.

22 Septemba 2017

Mwanzoni mwa 2017, Edith Kimani aliondoka kuja Ujerumani kuanza maisha mapya na kazi mjini Berlin, kama mtangazaji wa habari wa DW. Aliacha mashabiki wengi nchini Kenya lakini alileta uzoefu wa miaka saba kama ripota na mtangazaji wa habari wa moja ya vituo vikubwa kabisa vya televisheni nchini Kenya, KTN.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW