1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Fahamu ugonjwa wa kifafa cha mimba

03:25

This browser does not support the video element.

19 Julai 2021

Ugonjwa wa kifafa cha mimba ni miongoni mwa magonjwa hatari unao ondoa maisha ya wanawake wengi waja wazito nchini Tanzania. Ugonjwa huu unashika nafasi ya pili kwa vifo vinavyotokana na uzazi. Dr Living Colman daktari bingwa wa magonjwa ya wanawake katika hospitali ya taifa ya Muhimbili ananuchambua ugonjwa huo.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW