1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

FRANKFURT AM MAIN: Madreva wa treni wagoma kazi

6 Oktoba 2007

Mgomo uliofanywa siku ya Ijumaa na madreva wa shirika la treni la Ujerumani-Deutsche Bahn ulishindwa kukwamisha huduma zote za usafiri. Shirika hilo la treni lilijiandaa kwa kuajiri madreva wengine na hivyo kupunguza athari za mgomo huo.Umoja wa madreva wa treni-GDL unadai nyongeza ya takriban asilimia 31 na umeonya, migomo mingine itafanywa kuanzia Jumanne ijayo ikiwa maafikiano ya maana hayatopatikana hadi hapo.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW