1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

FRANKFURT: Merkel amefungua maonyesho ya magari

13 Septemba 2007

Kansela wa Ujerumani,Angela Merkel amefungua rasmi maonyesho ya 62 ya magari mjini Frankfurt. Kiini cha maonyesho ya mwaka huu ni ulinzi wa mazingira.

Viwanda vya magari vimeania kuonyesha kuwa vinaunga mkono juhudi za kupambana na tatizo la ongezeko la ujoto duniani.Kansela Merkel amesema,viwanda vya magari lazima vifikirie njia za kupunguza uzalishaji wa gesi ya kaboni dayoksaidi.

Zaidi ya mashirika 1,000 yanayohusika na magari yanawakilisha nchi 40 katika maonyesho ya siku kumi mjini Frankfurt.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW